RAILA ODINGA WILL DO THIS TO WILLIAM RUTO IMMEDIATELY

The Coastal land politics took centre stage during Azimio la Umoja One Kenya coalition party leader Raila Odinga’s tour of Taita Taveta County on Tuesday, where he addressed rallies in Wundanyi, Mwatate and Voi constituencies.

Odinga claimed acquisition of the over 2,500 acres of land in Taita Taveta’s Mata farm by Deputy President William Ruto was questionable and should be surrendered.

“Juzi anasema ati bwana Criticos alikuwa na shida kwa upande wa ushuru nikaenda nikasaidia yeye, akanipatia ka-shamba 2,500 acres…na hapa kuna watu ambao ni landless wengi zaidi, mbona hakununua hiyo shamba apatie hawa wenyeji wa hapa?” Posed Odinga.

Azimio Secretary General Junet Mohamed, on his part, said: “Maji yote ya Taita Taveta imepelekwa kwa hiyo shamba. Watu wa Taita Taveta hawana maji ya kunywa, hawana maji ya kuoga, wako na shida ya maji kwa sababu maji yote imepelekwa huko. Tarehe tisa, huyu jamaa anatafuta kazi ya rais, mimi nataka kuambia yeye ata hii ako nayo ya deputy itapotea…Martha Karua atachukua.”

Odinga’s running mate Martha Karua said he has stood for justice for all and called on the voters of Taita Taveta to vote him as the country’s fifth president.

“Ukiangalia ile timu ingine, wale wapinzani wetu, utaona hawana historia ya kujitolea…hakuna kazi wamefanya wewe ukakula matunda…wanaitisha kazi bila cheti za ile kazi wanaomba,” she said.

The Azimio leaders deconstructed the wheelbarrow politics associated with DP Ruto and his Kenya Kwanza brigade.

Wiper party chief Kalonzo Musyoka said: “We want to move from the boda boda economics…we don’t want to hear of wheelbarrow economics, hiyo ni nonsense…we must have the reality for our people.”

“This is not an ordinary election tukikosa hesabu wakati huu, nchi hii itaharibika kabisa. We cannot afford to give the country to thieves.”

Facebook Comments