RAILA ODINGA RELEASES A POWERFUL STATEMENT

“Tunataka kuona haki inatendeka ndio amani ipatikane. Tunataka kujua ukweli,” Azimio la Umoja–One Kenya Coalition Party flagbearer Raila Odinga says.

Raila met religious leaders at his Karen home.

“Mambo ambaye yametendeka katika nchi yetu ilikuwa ya kushangaza. Imepiga watu wetu na bumbuwazi. Watu wengi wako katika hali ya huzuni mpaka leo. Ni kweli kuna wengine wachache ambao wana furaha. Wamesherehekea. Hiyo ni haki ya kidemokrasia. Tunaenda kortini kutetea demokrasia ya taifa letu,” Raila said after the meeting.

Facebook Comments