BAD NEWS TO MUSALIA MUDAVADI

“Wamenimaliza kabisaaaa! Niliacha kazi yangu, nikaingia siasa. Nimetumia pesa yangu yote. Sasa naomba tu kazi ya kuhudumia watu wetu,” another Mbeu Ward MCA candidate, ANC’s Martin Kimathi Mbaabu, laments.

“Nimekuwa nikisave nikijua nakuja siasa. Watu wameniita harambee, hata birthdays nimeitwa. Sasa watu wamekataa kunichagua kwa sababu walipewa pesa na other candidates. Nilikuwa na moyo wa kubadilisha ward yetu lakini nimeona hawataki tubadilishe.”

“Hata baada ya kushindwa, wengine wananiuliza kama nimebakisha kitu. Nimetumia kama KSh 500k. Ningejua, singetumia hizo pesa.. Nimekuwa bankrupt,” Mbaabu told TUKO.

Martin was a deputy headteacher at a private school and is pleading for any job to serve people.

Facebook Comments